Hii HDD itakua imekufa au imecorrupt

Hii HDD itakua imekufa au imecorrupt

Quan Lup

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2016
Posts
710
Reaction score
1,012
ddc25968ed52a38b4096b81f87587c29.jpg

Masaada wadau chief mkwawa na wengine
 
ieke kwenye cover mkuu ujaribu kuiangalia kama external hasa kwenye os ambayo sio windows
 
ieke kwenye cover mkuu ujaribu kuiangalia kama external hasa kwenye os ambayo sio windows
Mkuu kwenye cover nikichomeka kwenye window inasoma vizuri kabisa ile nikichomeka ndani inaniletea hyo error
 
toa HDD halaf iweke tena kwa umakini halaf fanya kama unataka kushusha windows (ila usishushe) angalia je zile partitions zinatokea!!!!
 
na inasoma na volume zake yaan inaandika used space na free space au inasoma kama device tu imeingia bila volume..!
 
Inaandika used space na free space kama kawaida tuu
 
test nyingine sasa... kama kuna computer nyingine hapo itoe HDD yake na iweke hiyo.. ikisoma nakupa jibu... ila HDD nzima haijafa!

Daah kwa sasa hivi mkuu nipo job ngoja nikfika home nitajaribu daah nashukuru kusikia HDD yangu ni nzima[emoji120] [emoji120] [emoji120]
 
Daah kwa sasa hivi mkuu nipo job ngoja nikfika home nitajaribu daah nashukuru kusikia HDD yangu ni nzima[emoji120] [emoji120] [emoji120]
Kuna mda niliiteast kuptia USB port ikasoma window kabisa
 
Daah kwa sasa hivi mkuu nipo job ngoja nikfika home nitajaribu daah nashukuru kusikia HDD yangu ni nzima[emoji120] [emoji120] [emoji120]
kwenye upande wa HDD haina shida hadi hapo... yaan hiyo test ukiifanya inakupa tatizo la hapo ambalo nje na tatizo la HDD..!!!
 
Sawa mkuu nitakuambiaa
Shida kubwa kwa hiyo pc ni hdd na OS tu lakin chanzo ni hdd maana hiyo ni hardware diagnosed error maana nimefuatlia mtirirko wa maelezo yako, chakufanya hiyo ukirepair bila format au ukiinstall os bila format bado itakusumbua

chakufanya ichomeke kama ext HDD hamisha data muhimu kutoka kwenye drive iliyo kuwa na os hamishia kwenye partition nyngine ingawa huwa inashauriwa kwa tatizo la hdd bora kuformat hdd yote kwa maana kwamba delete partitions zote kabisa format halafu ugawe tena upya ingawa si vibaya pia hata uki deal na partition iliyo kuwa na windows mwanzo, pekee itafaa pia coz kuna sectors hapo ni zitakuwa zina skip au bad clusters so hata uki install os bila formating itakusumbua baada ya mda mfupi tena hdd za siku hizi ni vimeo balaa unaweza nunua leo halafu kesho unaanza kusikia clicking sound.

Lakin zingatia sana kusikiliza spin disk sound inayo toka wakati hard disk yako ina operate ukisikia visauti kama ina gonga hivi clicking sounds jua no longer itakusumbua hivyo anza michakato ya kutafuta mpya wakati hiyo inakusogeza.
 
Shida kubwa kwa hiyo pc ni hdd na OS tu lakin chanzo ni hdd maana hiyo ni hardware diagnosed error maana nimefuatlia mtirirko wa maelezo yako, chakufanya hiyo ukirepair bila format au ukiinstall os bila format bado itakusumbua

chakufanya ichomeke kama ext HDD hamisha data muhimu kutoka kwenye drive iliyo kuwa na os hamishia kwenye partition nyngine ingawa huwa inashauriwa kwa tatizo la hdd bora kuformat hdd yote kwa maana kwamba delete partitions zote kabisa format halafu ugawe tena upya ingawa si vibaya pia hata uki deal na partition iliyo kuwa na windows mwanzo, pekee itafaa pia coz kuna sectors hapo ni zitakuwa zina skip au bad clusters so hata uki install os bila formating itakusumbua baada ya mda mfupi tena hdd za siku hizi ni vimeo balaa unaweza nunua leo halafu kesho unaanza kusikia clicking sound.

Lakin zingatia sana kusikiliza spin disk sound inayo toka wakati hard disk yako ina operate ukisikia visauti kama ina gonga hivi clicking sounds jua no longer itakusumbua hivyo anza michakato ya kutafuta mpya wakati hiyo inakusogeza.
Asante sana mkuu kwa maelezo yako ubarikiwe nashukuru sana[emoji120] [emoji120]
 
Back
Top Bottom