Sikulazimishi kuamini,ila nikuambie mimi hua na waonata watu walikokufa mara kwa mara na hua wakijua nawaona hua wanakimbia ama kupotea ghafla...ila kuongea nao hua siwez kwan mda wote hua wamefunga vinywa vyao na hua wanaonekana na uzuni
Pia wanatembea kuelekea upepo unapoelekea...