Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,697
- 218,219
- Yalisemwa miaka mingi lakini leo yanatimia !
siku Dikteta akikugusa ndio utaelewa maana ya kauli hiziNi mwendo wa kunyooshana mpaka watu wanazikumbuka kauli zenye umri sawa na Baba zao.
Utakuwa ni mtu mwenye matatizo makubwa yenye madhara ya moja kwa moja kwa taifa mpaka uogope kuguswa.siku Dikteta akikugusa ndio utaelewa maana ya kauli hizi
Baadae akaja kuwa mlinzi wa Lowassa.Huyu jamaa aliyeshika walkie talkie anaonekana alikua tough zaidi ya jamaa wetu wa usingizi wa pono.
Shida iko kwenye tafsiri yenu ya usaliti , ukishindwa kumuabudu kiongozi unaitwa msaliti ! na nikuhakikishie kwamba usije kudhani kuna siku tunamuabudu binadamu mwenye damu na nyama , Never ever ! tutaendelea kupinga udikteta hadi nchi hii ikombolewe , wala siyo mbali .Utakuwa ni mtu mwenye matatizo makubwa yenye madhara ya moja kwa moja kwa taifa mpaka uogope kuguswa.
Usipokuwa na akili za usaliti kwa taifa lako kwanini uogope kuguswa?.
Usipokuwa na akili za fitina dhidi ya serikali kwanini uogope kuguswa?.
Rada moja imezinduliwa jana, zimebaki tatu, nchi yetu yote itakuwa ikionwa katika mfumo huo wa rada.
Pia pato la taifa linakwenda kuongezeka, wewe endelea kutafuta hivyo vipande vya maneno ya Mwalimu Nyerere kwa nia ya kujifariji.
Endeleeni kulialia wakati watu wanafikiri ni namna gani nchi inaweza kuendelea kama zilizoendelea.Shida iko kwenye tafsiri yenu ya usaliti , ukishindwa kumuabudu kiongozi unaitwa msaliti ! na nikuhakikishie kwamba usije kudhani kuna siku tunamuabudu binadamu mwenye damu na nyama , Never ever ! tutaendelea kupinga udikteta hadi nchi hii ikombolewe , wala siyo mbali .
Katiba ya nchi ni muhimu kuliko ujinga wowote mwingine na nakuhakikishia kwamba Mungu yuko upande wetuEndeleeni kulialia wakati watu wanafikiri ni namna gani nchi inaweza kuendelea kama zilizoendelea.
JK aliitwa dhaifu huyu wa sasa anaitwa mbabe, huyo rais anayeweza kwenda sambamba na njozi zenu bado hajazaliwa na siku akiweza kuwepo pale Magogoni, mimi na wewe tutakuwa tunaitwa Marehemu.
Katiba haikuwekei chakula mezani kwako, kujituma kazini ndio mpango mzima.Katiba ya nchi ni muhimu kuliko ujinga wowote mwingine na nakuhakikishia kwamba Mungu yuko upande wetu
ccm mnawaza kula tu !Katiba haikuwekei chakula mezani kwako, kujituma kazini ndio mpango mzima.
Ukiwa mvivu mwilini na kichwani hakuna maandiko yoyote yenye kuweza kukuongezea kipato.
Ysah maniHuyu jamaa aliyeshika walkie talkie anaonekana alikua tough zaidi ya jamaa wetu wa usingizi wa pono.
Unakubaliana na hiyo kauli ya Mwalimu Nyerere?Utakuwa ni mtu mwenye matatizo makubwa yenye madhara ya moja kwa moja kwa taifa mpaka uogope kuguswa.
Usipokuwa na akili za usaliti kwa taifa lako kwanini uogope kuguswa?.
Usipokuwa na akili za fitina dhidi ya serikali kwanini uogope kuguswa?.
Rada moja imezinduliwa jana, zimebaki tatu, nchi yetu yote itakuwa ikionwa katika mfumo huo wa rada.
Pia pato la taifa linakwenda kuongezeka, wewe endelea kutafuta hivyo vipande vya maneno ya Mwalimu Nyerere kwa nia ya kujifariji.
akijibu nistue .Unakubaliana na hiyo kauli ya Mwalimu Nyerere?
Ninakubaliana na kauli nyingi tu za Mwalimu Nyerere, ninachokiongelea ni huu uoga wa mleta mada anayeanzisha uzi kama huu wakati jukwaa lina mada nyingi tu zenye kufanana na hii.Unakubaliana na hiyo kauli ya Mwalimu Nyerere?
Punguza uoga mkuu, ukiishi kwa kufuata sheria hakugusi mtu ila ukileta ukichwa ngumu jiandae kula za uso.ccm mnawaza kula tu !
kufuata sheria hakuna uhusiano wowote na kumwabudu binadamuPunguza uoga mkuu, ukiishi kwa kufuata sheria hakugusi mtu ila ukileta ukichwa ngumu jiandae kula za uso.
Huyo unayedhani anaabudiwa na yeye hupiga magoti mbele ya maaskofu ili awekewe mikono ya baraka.kufuata sheria hakuna uhusiano wowote na kumwabudu binadamu
huo ujinga hatutakubaliana nao hata kwa bundukiHuyo unayedhani anaabudiwa na yeye hupiga magoti mbele ya maaskofu ili awekewe mikono ya baraka.
Unarudi kule kule kwenye uoga unapoishi kwa kudhani kuwa kuna mtu anaabudiwa. Ni mwendo wa kunyooshana tu.
Shujaa wa nyuma ya keyboard eti unazungumzia bunduki!!, mtanyooka tu.huo ujinga hatutakubaliana nao hata kwa bunduki