Mia saba
JF-Expert Member
- Mar 4, 2022
- 255
- 390
Naanza na salamu kwa wote mlioko kwenye mfungo, natumaini hamjambo.
Iko hivi, Unakuta mnauhusiano na mtu au watu fulani either kimasomo, kikazi au kiutafutaji. Punde tu mmoja wenu katika hizo nyanja za kuwa pamoja akifanikiwa unakuta anakimbilia kubadilisha namba ya simu.
Binafsi hii hali Huwa nashindwa kuielewa kwa watu. Mfano, Labda mmeajiriwa ofisi za serikali za kata pamoja, ILa mmoja akapata upenyo wa nafasi bandarini, mara gafla unapiga simu unaambiwa mara umekosea namba, mara mtu sio sahihi.
Najiuliza, je huwa watu Mara nyingi tunakuwa pamoja kwa sababu hakuna namna nyingine na ikitokea sababu bora zaidi wale wa zamani huonekana kama hawana thamani tena kwako?
Swali, kwa nini ubadilishe namba ya simu?
Iko hivi, Unakuta mnauhusiano na mtu au watu fulani either kimasomo, kikazi au kiutafutaji. Punde tu mmoja wenu katika hizo nyanja za kuwa pamoja akifanikiwa unakuta anakimbilia kubadilisha namba ya simu.
Binafsi hii hali Huwa nashindwa kuielewa kwa watu. Mfano, Labda mmeajiriwa ofisi za serikali za kata pamoja, ILa mmoja akapata upenyo wa nafasi bandarini, mara gafla unapiga simu unaambiwa mara umekosea namba, mara mtu sio sahihi.
Najiuliza, je huwa watu Mara nyingi tunakuwa pamoja kwa sababu hakuna namna nyingine na ikitokea sababu bora zaidi wale wa zamani huonekana kama hawana thamani tena kwako?
Swali, kwa nini ubadilishe namba ya simu?