Hii hali kweli jamani!!!startimes

Hii hali kweli jamani!!!startimes

Siku ingine rikodi mazungumzo yenu...na hakikisha unamuuliza jina wakati mnaanza mazungumzo ...then lazima wakulipe fidia ya mwaka mmoja bure...ukienda kwa boss wao...na yule alokujibu utumbo usitake tena kujuwa kimemkuta nini...wakikataa ilete youtube tuisambaze...

umeongea point sana mkuu hiyo ndo itakua dawa ya customer care wote hapa town.. ngoja mi nifanye hivo
 
Hata mimi nimejibiwa hivyo hivyo, wametoa channels zote wamebakiza TBC tu, nimewauliza na hiyo si wangeifungia? Wanatupa wakati mgumu sana, mzazi wangu ni mjane na mstaafu hapo huangalia taarifa ya habari tu bibi wa watu. Star times wanaongeza shida kwa sie masikini, tunatoa huduma muhimu ili wazee waongeze siku zakuishi. Sasa nilipie kwangu na kwa mzazi pia, haya bwana tutajitahidi. Mwee sio bure tena? TCRA WATUDADAVULIE WALITUAHIDI NA WANAENDELEA KUSEMA LOCAL CHANELLS FREE.
 
Mkwepa malipo/ kodi unalalamika? Hivi ni haki kutolipia miaka miwili?
 
Miaka2 alafu unalalamika hivi wakati unakinunua hukujua kuwa ni cha kulipia? Sasa kila mtu akifanya kama ulivyofanya wewe huoni kuwa kampuni inaweza kufungwa kwa kukosa pesa za kuendeshea shughuli zake ikiwa pamoja na kuwalipa wafanyakazi mishahara, sisi wote ni wabahiri lakini mwenzetu umezidi 2years free! Alafu unalalamika? Usipende sana vya bure ipo siku utaenda zenji wewe, shauri yako.
 
Star times muwe wabunifu kuwashawishi watu wawe wanalipia kwa kuweka channels nzuri na muongeze ubora wa picha wekeni vituo vingi vya kukamata mawimbi sio dar nzima tunategemea vituo viwili tu.
 
Startimes wana channels nzuri kiasi lkn ubora wa picha ndio unaonifanya niache kulipia,waimprove quality za picha.
 
Miaka2 alafu unalalamika hivi wakati unakinunua hukujua kuwa ni cha kulipia? Sasa kila mtu akifanya kama ulivyofanya wewe huoni kuwa kampuni inaweza kufungwa kwa kukosa pesa za kuendeshea shughuli zake ikiwa pamoja na kuwalipa wafanyakazi mishahara, sisi wote ni wabahiri lakini mwenzetu umezidi 2years free! Alafu unalalamika? Usipende sana vya bure ipo siku utaenda zenji wewe, shauri yako.

Kwani wakati wanasema local Chanels ni free hawakulijua hilo la kuwalipa wafanyakazi!mbona tunatetea makosa hapa!
 
Acheni kushambulia mleta Mada, hamjui local channel ni free kisheria.
Badala ya kuwalaumu star times kwa kuvunja sheria mnamnanga mleta Mada.

Watu wanakuja hapa bila kujitambua,TCRA walituambia local chanel free isitoshe startimes hamna cha kulipia cha maana zaid ya ITV,STARTV
 
Nenda kalipe miaka miwili ni mingi hebu tufuate haki tuache ubishi hata kama ni wewe ungejiskia vibaya
 
Mimi kingamuzi chao hata sijui kiko uvunguni mwa kitanda...kilikuwa kinaganda kushinda maelezo...nikakitupilia mbali...last month wamenipigia karibia mara 3 na kuniuliza kwa nini siendelei kuwa mteja wao...nikaawambia nimeshindwa kinaganda kushinda superglue..akacheka sana yule bro..akaniambia sasa wanifungie dish hakitoganda...nikamwambia hata sijui kiko wapi ...we kipotezee tu na jina langu futeni huko mi baaaaas startime...aliaga kwa unyonge sana ...so na wewe kama vp achana nao...weka za bure..
 
Hata mimi nimejibiwa hivyo hivyo, wametoa channels zote wamebakiza TBC tu, nimewauliza na hiyo si wangeifungia? Wanatupa wakati mgumu sana, mzazi wangu ni mjane na mstaafu hapo huangalia taarifa ya habari tu bibi wa watu. Star times wanaongeza shida kwa sie masikini, tunatoa huduma muhimu ili wazee waongeze siku zakuishi. Sasa nilipie kwangu na kwa mzazi pia, haya bwana tutajitahidi. Mwee sio bure tena? TCRA WATUDADAVULIE WALITUAHIDI NA WANAENDELEA KUSEMA LOCAL CHANELLS FREE.
poleni nyie mnajua leo mimi nilishaibiwa nimelipa matangazo hamna wala sio poa jamani startimes mjirekebishe wizi gani uwooo
 
Back
Top Bottom