natumia kingamuzi cha startimes huu mwaka wa pili,tokea nikinunue nimelipia mara moja tu,cha ajabu toka jana wamenifungia local chanel kuwapigia simu leo wanadai mpaka niende kuilipia ndo nitapata local chanel,hii halali???
Ulifanya vipi hata ukawa haulipii
hujalipa miaka miwili unalalamika? ona hata aibu kila mmoja akifanya hivyo si watafunga kampuni?
Local channel ni free...hawakuwa wanazilock...sasa wameanza kuzilock...kwanza local channel zenyewe ni bure...usitumie kingamuzi chao ...weka vingamuzi vya mediacom..na dish unatafuta fundi anakusetia local channel zote free
Yaani hawa cku hizi wamekuwa wahuni sana, mi 17.6, nililipia kifurushi cha mambo tsh.10,000.jana nawasha naambiwa muda umekwisha kwani wao siku 30 wanahesabu vipi?? Nawapigia najibiwa eti natumia sana nikamuuliza kwani hiki kimekuwa ni Luku? Kwamba hela una chajiwa kulingana na matumizi? Ananiambiwa we utakuwa umetumwa c bure akakata simu tena alikuwa msichana...
Local channel ni free...hawakuwa wanazilock...sasa wameanza kuzilock...kwanza local channel zenyewe ni bure...usitumie kingamuzi chao ...weka vingamuzi vya mediacom..na dish unatafuta fundi anakusetia local channel zote free
Mweee, me ndo sijawahi kukilipia tokea nikinunue...kwanza hamna hata cha maana kwenye hivyo vifurushi....
Na siku wakijishaua kunifungia local channels nawarudishia king'amuzi chao nahamia Azam au digitek....mxiuuuuuuu!
Azam fasta local chanel unafungiwa after 3 weeks.
Basi hatari...
Unajua tokea nimekinunua kina mwaka na sijawahi kukilipia hata siku moja....
eeeh jitahidi mkuu hata baada ya miezi nane lipia mara moja
Miaka mi2 haujalipia? seriously?