April26
JF-Expert Member
- Jul 14, 2020
- 1,405
- 2,162
Asalaaaam wakuu. Naomba kuwashirikisha hili kama ilishakutokea au uliwahi kusikia n.k.
Sihitaji kuzama sana kitaaluma lakini hili jambo laweza kuwa geni au uliwahi kujua ama lah but ni issue ambayo ni ya kijitathimini tu tangu upevuke na kuanza kuwa na hisia za mapenzi.
Jambo hili wazee zamani walitumia kutazama nyota kutambua kuwa kipindi kimefika.
Ni hivi kwa mwaka mwanaume au mwanamke anapitia vipindi viwili vya kihisia.
Moja ni kipindi ambacho mwanamke au mwanaume anapata n..y...eg...e sana kiasi kwamba atakuwa na hamu ku do sex kupitiliza tofauti na kawaida.
Na kipindi hiki hutokea ndani ya mwezi mmoja hadi mitatu mfururizo kwa mwaka awe ana sex mara kwa mara au lah!!
Kipindi cha pili ni kile ambapo mwanamke au mwanaume kwa muda ule ule wa mwezi mmoja hadi mitatu kwa mwaka unakuta hana au hajisikii kabisa Ku do sex haijalishi ana mwenza au hana bali hisia zake hupotea na anakuwa anajiona kawaida.
Kwa mwanaume wakati huu hata hamu ya kutongoza na kutamani huyeyuka hata afanyiwe mitego na visa na mwanamke utakuta hana time.
Inasemekena hali kama hii hutokea kwa wanyama wafugwao na waporini pia, hivo hata kwa binadamu hutokea isipokuwa jinsi ya Ku notice inategemeana na muhusika ikiwa ana taarifa hizi au lah
Wengi wapatao hali ya kutokuwa na hamu ya sex pengine hugundua hali hiyo lakini husingizia mambo mengine kama visababishi kumbe pengine anakuwa kwenye kipindi hicho cha mpito ambacho bila shaka ni kimaumbile (biologically)
Cha ajabu ni kuwa ukifika msimu wa wanaume kukosa hamu au hisia za sex kupungua ndo kipindi ambacho wanawake huwa kipindi hisia ziko juu na kwa wanawake ni hivo hivo.
Hali hizi zote mbili hutofautiana kati ya mtu na mtu, je ulishawahi Ku notice hali kama hiyo??
Sihitaji kuzama sana kitaaluma lakini hili jambo laweza kuwa geni au uliwahi kujua ama lah but ni issue ambayo ni ya kijitathimini tu tangu upevuke na kuanza kuwa na hisia za mapenzi.
Jambo hili wazee zamani walitumia kutazama nyota kutambua kuwa kipindi kimefika.
Ni hivi kwa mwaka mwanaume au mwanamke anapitia vipindi viwili vya kihisia.
Moja ni kipindi ambacho mwanamke au mwanaume anapata n..y...eg...e sana kiasi kwamba atakuwa na hamu ku do sex kupitiliza tofauti na kawaida.
Na kipindi hiki hutokea ndani ya mwezi mmoja hadi mitatu mfururizo kwa mwaka awe ana sex mara kwa mara au lah!!
Kipindi cha pili ni kile ambapo mwanamke au mwanaume kwa muda ule ule wa mwezi mmoja hadi mitatu kwa mwaka unakuta hana au hajisikii kabisa Ku do sex haijalishi ana mwenza au hana bali hisia zake hupotea na anakuwa anajiona kawaida.
Kwa mwanaume wakati huu hata hamu ya kutongoza na kutamani huyeyuka hata afanyiwe mitego na visa na mwanamke utakuta hana time.
Inasemekena hali kama hii hutokea kwa wanyama wafugwao na waporini pia, hivo hata kwa binadamu hutokea isipokuwa jinsi ya Ku notice inategemeana na muhusika ikiwa ana taarifa hizi au lah
Wengi wapatao hali ya kutokuwa na hamu ya sex pengine hugundua hali hiyo lakini husingizia mambo mengine kama visababishi kumbe pengine anakuwa kwenye kipindi hicho cha mpito ambacho bila shaka ni kimaumbile (biologically)
Cha ajabu ni kuwa ukifika msimu wa wanaume kukosa hamu au hisia za sex kupungua ndo kipindi ambacho wanawake huwa kipindi hisia ziko juu na kwa wanawake ni hivo hivo.
Hali hizi zote mbili hutofautiana kati ya mtu na mtu, je ulishawahi Ku notice hali kama hiyo??



