mama jason
Member
- Sep 6, 2013
- 40
- 2
Habari, naitwa Mr. Raymond from TRANSNET LTD Dar, tupo kikaoni tunapitia CV tuchague candidates wa kuinterview for PUBLIC RELATIONS OFFICER POST, CV yako ni nzuri nataka kukusaidia upate hii kazi kwa terms zifuatazo, salary ni tshs 1,200,000/= kwa mwezi ukilipwa salary ya kwanza utanipa laki 3, na kabla ya saa 11 jioni uwe umetuma sh. elfu 35 by tigopesa to 0713-765442 ili nimpe mtu wa interview anipe maswali ntakutumia kwenye email, for now siwezi ongea mpaka badae nikitoka kikaoni na ndio muda huo utapigiwa simu lini uje for interview, jitahidi utume mapema.