Boutafrica
JF-Expert Member
- Dec 11, 2014
- 953
- 2,070
Hii ni kama mara ya tano sasa kila ninapojiskia malaria madaktari hunishauri kutumia dawa ya malaria ya mseto,ila cha ajabu kila ninapomeza dawa hii ya mseto hamu ya kufanya mapenzi huwa ipo juu sana kuliko kawaida hali ya kuwa ninaumwa hadi wife huwa anashangaa kwa nini ninaumwa lakini perfomance iko juu kuliko siku za kawaida,Pia mashine inasimama kila dakika,Lakini pia huwa nakula sana Sasa je hili ni tatizo au hizi dawa zina nini? na je ni mimi tu pekee yangu?