Multimedia ni pana sana.. MEDIA najua una faham maana yake, na MULTI pia unafaham.. Katika multimedia utasoma jins ya ku combine texts, picha, graphic, sound etc.. E.g ANIMATION utajifunza kuhusu uandaaji wa cartoon na kuwafanyia ANIMATING(wafanye vitendo like ku-move, kuongea yaan kama films tu!! )so kuna computer maalum kwa ajili ya kufanyia hivo v2.. Katika multimedia pia, unaweza ukasoma vi2 kama GRAPHIC DESIGNING, SOUND ENGINEERING, FILM TECHNOLOGY e.t.c.na katika suala lako la masomo sina uhakika ila mara nying huwa naona PCM ndo wanasoma,,, iam not sure maana huwa kuna calculations, plus DIMENSIONS ( kuna v2 kama 3D, 2D kama uliwahi sikia sikia, so obvious lazma uwe umesoma maumbo). Unaweza tumia cheti chako cha O-level pia kama ulifanya vizur upande wa science.JAMANI NAOMBA MNISAIDIE HII XIM COURSE INA HUSIANA NA NINI NA JE MTU WA HGE ANAWEZA SOMA?? IPO UDOM
NIMEFAURU TN VZR TUU O LVL SCIENCEMultimedia ni pana sana.. MEDIA najua una faham maana yake, na MULTI pia unafaham.. Katika multimedia utasoma jins ya ku combine texts, picha, graphic, sound etc.. E.g ANIMATION utajifunza kuhusu uandaaji wa cartoon na kuwafanyia ANIMATING(wafanye vitendo like ku-move, kuongea yaan kama films tu!! )so kuna computer maalum kwa ajili ya kufanyia hivo v2.. Katika multimedia pia, unaweza ukasoma vi2 kama GRAPHIC DESIGNING, SOUND ENGINEERING, FILM TECHNOLOGY e.t.c.na katika suala lako la masomo sina uhakika ila mara nying huwa naona PCM ndo wanasoma,,, iam not sure maana huwa kuna calculations, plus DIMENSIONS ( kuna v2 kama 3D, 2D kama uliwahi sikia sikia, so obvious lazma uwe umesoma maumbo). Unaweza tumia cheti chako cha O-level pia kama ulifanya vizur upande wa science.
Well. Kama upo interested kasome ni vi2 ambavyo vipo unique sana,.. Ila kama utaombea cha O-LEVEL utaanza dip.NIMEFAURU TN VZR TUU O LVL SCIENCE
UDOM bado wanapokea watu kwa upande wa diploma?JAMANI NAOMBA MNISAIDIE HII XIM COURSE INA HUSIANA NA NINI NA JE MTU WA HGE ANAWEZA SOMA?? IPO UDOM
DoohMultimedia ni pana sana.. MEDIA najua una faham maana yake, na MULTI pia unafaham.. Katika multimedia utasoma jins ya ku combine texts, picha, graphic, sound etc.. E.g ANIMATION utajifunza kuhusu uandaaji wa cartoon na kuwafanyia ANIMATING(wafanye vitendo like ku-move, kuongea yaan kama films tu!! )so kuna computer maalum kwa ajili ya kufanyia hivo v2.. Katika multimedia pia, unaweza ukasoma vi2 kama GRAPHIC DESIGNING, SOUND ENGINEERING, FILM TECHNOLOGY e.t.c.na katika suala lako la masomo sina uhakika ila mara nying huwa naona PCM ndo wanasoma,,, iam not sure maana huwa kuna calculations, plus DIMENSIONS ( kuna v2 kama 3D, 2D kama uliwahi sikia sikia, so obvious lazma uwe umesoma maumbo). Unaweza tumia cheti chako cha O-level pia kama ulifanya vizur upande wa science.
But DIT wanatoa pia diploma....JAMAA AJANIELEWA TU.ILA UDOM SIJUI.KHS.DIPLO.MM NAAPLY DEGREE
Inategemea unataka kusoma nini? kama nlivosema MULTIMEDIA ipo wide sana.. Na katika suala la wapi utaajiriwa? Au wapi hasa utafanya kazi..? Now days industries nyingi sana.Mfano broadcasting industry i.e RADIO&TV unaeza ukaitwa kufanya setting za sound as Techinician person( namaanisha sound engineer).Animation industry. Mfno (kutengeneza games, movies, cartoons e.t c). utafanya kazi kweny industry za kufanya advertisement ( kuandaa matangazo na kufanya graphic designing). Kumbuka uki graduate teari unakua techinician,nguvu kubwa unayo wew katika kufanya kazi na una possibility kubwa ya kujiajiri,what only you need'are equipments.Dooh
Mimi nmeomba hyo coz 2nd selection
Ukweli siijui vizur wala cjawahi kuisikia je inajapo uwanja kidogo baada ya kugraduate iwe kujiajiri au kuajiriwa
Na pia mfano ukitaka kujiajiri sanasana utakua unadeal na pande zipi
Nakuajiriwa unafocus hasa sekta zipi
Nipe mwongozo Mr kama unaifahamu kidgo
Dooh
Mimi nmeomba hyo coz 2nd selection
Ukweli siijui vizur wala cjawahi kuisikia je inajapo uwanja kidogo baada ya kugraduate iwe kujiajiri au kuajiriwa
Na pia mfano ukitaka kujiajiri sanasana utakua unadeal na pande zipi
Nakuajiriwa unafocus hasa sekta zipi
Nipe mwongozo Mr kama unaifahamu kidgo
Revo mbonq umejibu vizuri hili ukiwa kma unauzoefu nalo ila ninchoshangaa wew ulishawahi kuanzisha uzi kuhusu hyo tena umechaguliwa juzi tuu diploma DIT inakuaje hapo. Sisi tutakuamini vipInategemea unataka kusoma nini? kama nlivosema MULTIMEDIA ipo wide sana.. Na katika suala la wapi utaajiriwa? Au wapi hasa utafanya kazi..? Now days industries nyingi sana.Mfano broadcasting industry i.e RADIO&TV unaeza ukaitwa kufanya setting za sound as Techinician person( namaanisha sound engineer).Animation industry. Mfno (kutengeneza games, movies, cartoons e.t c). utafanya kazi kweny industry za kufanya advertisement ( kuandaa matangazo na kufanya graphic designing). Kumbuka uki graduate teari unakua techinician,nguvu kubwa unayo wew katika kufanya kazi na una possibility kubwa ya kujiajiri,what only you need'are equipments.
Niicepale juu kuna jamaa kapotosha ..huwez kuwa sound engineer kwa kusoma hii kitu ..utaishia kama yule jamaa mtengeneza katuni za Mama Ndege wa TBC .....achana nayo hii kitu....
Sodoka uko vizuri..pale juu kuna jamaa kapotosha ..huwez kuwa sound engineer kwa kusoma hii kitu ..utaishia kama yule jamaa mtengeneza katuni za Mama Ndege wa TBC .....achana nayo hii kitu....
Said... Unajua sio kila kitu lazma ufundishwe.. Then kama unapenda kitu always unakua keen kufaham kuhusu hicho kitu...Revo mbonq umejibu vizuri hili ukiwa kma unauzoefu nalo ila ninchoshangaa wew ulishawahi kuanzisha uzi kuhusu hyo tena umechaguliwa juzi tuu diploma DIT inakuaje hapo. Sisi tutakuamini vip
Yes upo sahihi... Nimechaguliwa DITSaid... Unajua sio kila kitu lazma ufundishwe.. Then kama unapenda kitu always unakua keen kufaham kuhusu hicho kitu...
Ok sawa ila kuna mtu hapo sodoka mzee wa sua ckosei kakosoa baadhi ya taarfa hvyo yaonyesha bado taarfa hazijawa za kutosha.Yes upo sahihi... Nimechaguliwa DIT