hooligan01
JF-Expert Member
- Nov 21, 2013
- 664
- 540
naomba niwajuze watumiaji wa simu za android wanaopenda kudownload muvi kwamba kuna application inaitwa "Any movie downloader"ni nzuri aisee kwa kudownload muvi zote mpya na zaman kwa mb chache 2 na nzuri.utaipata playstore o mobile9 o mobegenie. hope mtaicheki na mtatoa feedback
Thanks for sharing.
Mwl.RCTThanks for sharing.
Mwl.RCT
Hivi hii kitu bado ipo?
Pata Vocha za TunnelGuru/PD Proxy @TSH 8,000/- for 1 Month Unlimited Plan
Call/SMS Mwl.RCT: 0717 54 57 62
Yap. Vocha za vpn zipo. Iwe ni Pd proxy au TunnelGuru. Kama ni mtumiaji wa Netflix; Vevo au Bbc iPlayer lazima utumie vpn kwa hapa bongo. Je unahitaji vocha ipi?. instantly ukifanya malipo nakupa voucher code yako. KARIBU
ninayo na nikiserch inakuja ila nikitaka kuinstall inanidirect kwa playstore af inaleta result kua haipo.
Yap. Vocha za vpn zipo. Iwe ni Pd proxy au TunnelGuru. Kama ni mtumiaji wa Netflix; Vevo au Bbc iPlayer lazima utumie vpn kwa hapa bongo. Je unahitaji vocha ipi?. instantly ukifanya malipo nakupa voucher code yako. KARIBU
Mi nataka kwenye Mobile Phone mkuu naweza pata kupitia VPN app gani... Mwl.RCT
picha moja inaweza ikawa kama mb ngapi hivi .......!?
muv ya lisaa1:30 inatake mb110/120 mara nyng na ya masaa ma2:30 no mb ka 198 iv
muv ya lisaa1:30 inatake mb110/120 mara nyng na ya masaa ma2:30 no mb ka 198 iv
kama movie ukubwa ndio huo hawana lolote wanachukua tu kwenye server za friendz4m na labda uangalie kwenye simu kama tecno n3 na galaxy chat ndo itaoneka atleast nzuri sababu nahisi hizo movie hata 240p hazijafika zitakuwa ni 144p.
kama una simu nzuri au pc huwezi angalia hizo movie labda upunguze ukubwa wa player na kuiresize kiwe kidogo.
kwa android kuna app inaitwa showbox hii ndio inaonesha na kudownload movie full hd ambazo unaweza ukangalia kwenye simu za kisasa. na usitegemee movie ya hd kuwa chini ya mb500