Onesmo NB Nicholaus
Member
- Jul 10, 2015
- 49
- 2
Wapendwa naomba mnisaidie
mimi natumia airtel kwenye internet,nilijua bando za internet unlimited ni 2500 kwa wiki sasa maajabu yake eti kwa siku tu GB 1 ni shilingi 1000.sasa nikisema ninunue kwa wiki moja ni hela nyingi ntapoteza. matokeo yake naishia kununua MB 300 kwa sh 500. sasa na hii ninatumia kwenye modem kama dk 10 imeisha. naomba kama kuna airtel bando za ainternet mnisaidie jinsi ya kujiunga maana natumia gharama nyingi bila sababu
au kama hakuna jipya airtel niipige chini nianze na TIGO
natanguliza shukrani
mimi natumia airtel kwenye internet,nilijua bando za internet unlimited ni 2500 kwa wiki sasa maajabu yake eti kwa siku tu GB 1 ni shilingi 1000.sasa nikisema ninunue kwa wiki moja ni hela nyingi ntapoteza. matokeo yake naishia kununua MB 300 kwa sh 500. sasa na hii ninatumia kwenye modem kama dk 10 imeisha. naomba kama kuna airtel bando za ainternet mnisaidie jinsi ya kujiunga maana natumia gharama nyingi bila sababu
au kama hakuna jipya airtel niipige chini nianze na TIGO
natanguliza shukrani