ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 17,339
- 22,155
Hahahaha wananenepeana ovyo tu huko makambinini kuchezea rasilimali tu, mabakabaka wengi kazi za kufanya hamna nchi ina amani wanakula mishahara tu, ungekuta sa sisi tuna mission kama za usa, jeshini watu wangekimbia