Wakubwa, nalileta hili ktk sehemu hii maana linagusa uchumi kwa maana ya miundombinu, pamoja na mali za watu na mashirika. Eneo la hifadhi ya barabara, ni mira ngapi kutokea katikati ya bara bara? Nimeona bomoa bomoa imeanza mkrogoro road, wadau wenye uelewa naomba watuelekeze.