Hi

Biblia inasema mwanamke mjinga.....ila jamaa kwenye bongo fleva akaamua kuongezea na wanaume.... I am trying hard kujenga hii nyumba yangu na Filipo ila kuna muda naona anataka kuivunja kwa uzembe....

Napambana na majaribu na mapepo na hakika Bwana ananionekania. Hakika nitashinda maana vita yetu si ya miili bali ni roho!
I love you sana my love!
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli kabisa si unajua mambo yote sikuizi ni digitali.................. Filipo na marejesho bado wapo kwenye mfumo wa analojia ndo maana wanakuwa kama kumbikumbi hahaaaaaaaaaaaaaaaa

Nasikia mitambo ya analojia yameshafungwa Filipo na marejesho bado wanapata netiweki kweli?
 
Last edited by a moderator:
Msipohama itabidi mwezi wa tatu mpande juu ya mti ili mpate netiweki

He he heh hehe.......Hatuhitaji msongamano kabisa......Nyie wote hameni mie na Filipo tutabaki tukijimwaga kwa raha zetu......
 
Last edited by a moderator:
He he heh hehe.......Hatuhitaji msongamano kabisa......Nyie wote hameni mie na Filipo tutabaki tukijimwaga kwa raha zetu......

Achana nao hao mke wangu! Wanahitaji maombi ya kutoa pepo la kuvuruga ndoa za watu!
 
Last edited by a moderator:
He he heh hehe.......Hatuhitaji msongamano kabisa......Nyie wote hameni mie na Filipo tutabaki tukijimwaga kwa raha zetu......

Mtakutana na mapicha picha ndio hapo mtajua nini maana ya dijitali, ushauri wa bure nakupa sisteri marejesho.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…