Hezbollah lashambulia jeshi la Israel

Hezbollah lashambulia jeshi la Israel

kamili

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2011
Posts
1,219
Reaction score
855
Wapiganaji wa Hezbollah Kundi la wapiganaji wa Washia wa Lebanon walio chini ya vugu vugu la Hezbollah, linasema kuwa limetekeleza shambulio dhidi ya msafara wa wanajeshi wa Israeli katika mpaka wa mataifa hayo mawili.

Kwa upande wake, Jeshi la Israeli linasema wanajeshi wake wanne wamejeruhiwa pale kombora lililorushwa kwa kifaru kupiga gari lake la kijeshi karibu na mpaka wa Lebanon.

Taarifa nyingine kutoka kwa Hezbollah zinasema kuwa zaidi ya waisraeli 15 yamkini wameuwawa au kujeruhiwa.

Kundi la Hezbollah linasema kuwa lilikuwa likijibu mashambulio ya angani yaliyofanywa na Israeli yaliyomuua jenerali mmoja wa Iran na wapiganaji kadhaa wa Hezbollah Nchini Syria siku kumi zilizopita.

Israel ilijibu mashambulizi hayo kwa kurusha makombora Kusini mwa Lebanon Waziri mkuu Benjamin Netanyahu alionya kwamba jeshi la Israel liko tayari kutumia nguvu dhidi ya mashambulizi yoyote kutoka kwa washambuliaji.



Source: BBC
 
israel.jpg
zio9.jpg
zio8.jpg
Poleni sana wakristo sa mungu wenu lile sanamu liko uchi wa bibili yuko wapi, si anajidai hakuna kitu kinaweza kupenya kwenye taifa lake hahaha.
 
israel.jpg
zio9.jpg
zio8.jpg
Poleni sana wakristo sa mungu wenu lile sanamu liko uchi wa bibili yuko wapi, si anajidai hakuna kitu kinaweza kupenya kwenye taifa lake hahaha.

Hujui ulicho kiandika na lazima utakuja na mtindio wa ubongo
 
Hujui ulicho kiandika na lazima utakuja na mtindio wa ubongo

Tulishawah kusema na nitaendelea kusisitiza kuwa pamoja na kujifanya wako imara kijeshi, lakin asikuambie mtu, nguvu zote ni kwa sababu ya US, nje ya hapo ni wepesi! Ila kwa kuwaonea Hamas wanaweza ila siyo Hezbollah! Ni ujinga mkubwa kuwapa sifa ambazo hawastahili.
 
Hzbullah nawaaminia bhana wale majembe eti mwixrael achezee kpgo
 
Hzbullah nawaaminia bhana wale majembe eti mwixrael achezee kpgo

Hayo majembe yanayazidi yale ya escrow yaliyogoma kujiuzulu halafu yaka yaka ya yakato to to to yakato.

Naomba dawa ya kigugumizi
 
Hezbollah na Ebola zote ni national security issues ....
 
Kuua askari wawili sio kushinda vita, vilima vya golani vinamilikiwa na israel, chezea yom-kipur wewe.
 
Hezbollah wamesema hiyo ni bashraf tu, mziki kamili haujaanza.

Wasije kujificha nyuma ya watoto na akina mama wajawazito na kuanza kulalamika watakapofumuliwa nnya kwa maroketi.
 
Wasije kujificha nyuma ya watoto na akina mama wajawazito na kuanza kulalamika watakapofumuliwa nnya kwa maroketi.

Hizo mbinu za Wayahui, juzi juzi si uliona walivyotandikwa? umesahau. Jikumbushe:

Israel's Prime Minister, Defence Minister and Army Chief of Staff have said that its army has lost its best officers and soldiers in the battles with the Hamas military wing in the Gaza Strip.

"We knew we will have tough days ahead of us and today is one of them," Prime Minister Benjamin Netanyahu told a joint press conference on Monday evening. He expressed his regret for the death of Israeli soldiers, admitting that the army faces a fierce enemy in Gaza and said "there is no war without casualties".

Netanyahu called on the Israelis to prepare for a long battle, stressing that he will not accept any agreement that does not guarantee the disarming of the Gaza Strip. "The removal of the Palestinian factions' arms and preventing their getting arms in the future must be part of any solution," he insisted. Calling on the international community to insist on this demand, he said that this should be done "instead of allowing money and cement to enter Gaza to build the tunnels". The prime minister claimed that Hamas has violated all ceasefire agreements.

Defence Minister Ya'alon, meanwhile, described last night as "difficult" and pointed out that "Israel will continue to work vigorously in Gaza and will not accept any future settlement that does not guarantee the security of Israelis." He admitted to losing Israel's "best sons at the hands of Hamas", adding that he "will order the army to expand and deepen the operations against the Islamic resistance" in the days to come.

"We will direct strong blows against Hamas in the coming days," claimed Ya'alon. The minister stressed that the military assault will have an impact on Israel's future. "We stand behind the army commanders and soldiers who are taking part in this sacred operation," he said, adding that he will work to prevent Hamas arming in the future. "We will be patient and continue this operation until we restore calm and security."

According to Chief of Staff Benny Gantz, he had lost "leaders and friends during the operation in the Gaza Strip... But we understand this pain."

Gantz pointed to the seriousness of the tunnels scattered along the border with the Gaza Strip, saying that Israel is dealing with a wide range of "offensive" tunnels and insisted on inspecting every tunnel. The level of operations against the Palestinians in the Gaza Strip, said Gantz, will be raised "where necessary".
 
US, Israel wanamaliza pesa zao kwa ugomvi ambao hawauwezi
Hawa wezi na Hezbollah kaaema akisha maliza vita kule Syria na vibaraka wa Israel (ISIS) Israel ajiandae kuondoka Al Quds (Jerusalam), sababu watanza kwanza kuikomboa Golan afu Sheba firm afu wanaingia step by step mpaa Al Quds. 2013 na Ishmael
 
Last edited by a moderator:
Hawa wezi na Hezbollah kaaema akisha maliza vita kule Syria na vibaraka wa Israel (ISIS) Israel ajiandae kuondoka Al Quds (Jerusalam), sababu watanza kwanza kuikomboa Golan afu Sheba firm afu wanaingia step by step mpaa Al Quds. 2013 na Ishmael
Hezbollah are fighting a loosing battle. There is nothing new about them.
 
Hezbollah are fighting a loosing battle. There is nothing new about them.
Hahaha dogo Ishmael FYI; Israel cannot defeat Hezbollah now and forever, Hezbollah's attack in Israel 2 days ago was an eye-for-an-eye retaliation for Israel's pre-emptive bombing raid in Syria two weeks ago.
 
Hahaha dogo Ishmael FYI; Israel cannot defeat Hezbollah now and forever, Hezbollah's attack in Israel 2 days ago was an eye-for-an-eye retaliation for Israel's pre-emptive bombing raid in Syria two weeks ago.
Young muhammadan,
To attack someone does not mean that you have defeated him, those are two different words. Remember, those people you worship are just chemical animals with no morals and are worthless before the creator.
 
Young muhammadan,
To attack someone does not mean that you have defeated him, those are two different words. Remember, those people you worship are just chemical animals with no morals and are worthless before the creator.
dogo Ishamel; Your comments are almost childlike and BTW; There are enough ------ in this world. Stupid Israel, as the old saying goes; From a pig one can only expect a grunt.
 
Back
Top Bottom