Hezbollah kusalimisha Silaha zao

Hezbollah kusalimisha Silaha zao

Usikariri uliyoambiwa kwenye diniza wakoloni. Nenda China, Japan na India ndo utajua Mungu siyo moja. hata Mungu wa Qur'an siyo Mungu wa Biblia. Miungu ipo Mingi sana. But Mungu wa babu zetu Waafrika ndo Mungu halisi tunayetakiwa kumuenzi. Siyo Mungu wa Bara Arabia au Ulaya.

Mungu wa watu wengine kamwe hatatufikisha popote.
Mungu wa babu zetu afrika anaitwa nani?
 
A
dogo we wachana na Suleiman Rushid, huyo alikuwa hajui lolote zaidi ya tarabu za kuwafurahisha wafadhili zake wakristo. Kitabu cha Hindus Holy Book kabla ya Ukristo na Uislam sikia kinasema nini. Kabla ya miaka 1000 kuja kwa Mtume Muhammad. Kilitabiri atakuja Mtume anaitwa Muhammad na baba yake ni nani na atazaliwa wapi. Afu mnatuletea ujinga eti ukristo ulikuja kabla ya Uislam, na kitabu cha Mussa kilimtabiri atakuja Mtume kama Mussa na ataleta sheria mpya ambaye ni Mtume Muhammad nyie mkajidai Yesu, lini Yesu alileta sheria hebu tupeni sheria ipi alio leta zaidi ya kusema sikuja vunja sheria ya Mussa bali kuiendeleza😄 🤣 Lini Yesu alikuwa kama Mussa. Yesu hakuwa na baba na mama, Yesu alikuwa na mama tu, hakuwa na mke au watoto hakuleta sheria vipi awe Yesu vichaa kweli nyie wafuasi wa Paulo.



View: https://youtu.be/06Fracwj9WU?si=QLrAd5FEDZ5DFbWJ

Ukristo ni dini ya Paulo.

Asante kwa kujifariji na kujifurahisha.
 
Kwa hiyo kutafsiri unashindwa? Kikubwa nyie mnaogopa yule Israeli ataishi roho juu juu ...Hao jamaa ni milele hakuna wa kuwaangusha ,huyo USA mpaka awavizie ...Hizbullah idumu milele
 
Usikariri uliyoambiwa kwenye diniza wakoloni. Nenda China, Japan na India ndo utajua Mungu siyo moja. hata Mungu wa Qur'an siyo Mungu wa Biblia. Miungu ipo Mingi sana. But Mungu wa babu zetu Waafrika ndo Mungu halisi tunayetakiwa kumuenzi. Siyo Mungu wa Bara Arabia au Ulaya.

Mungu wa watu wengine kamwe hatatufikisha popote.
Wacha ujinga wewe hakuna miungu kuna Mungu mmoja tu, hata Yesu aliwambia wayahudi Mungu wetu ni mmoja tu. Hao miungu wengine wametengenezwa na binadamu au wamezaliwa na binadamu sio miungu.
 
Wacha ujinga wewe hakuna miungu kuna Mungu mmoja tu, hata Yesu aliwambia wayahudi Mungu wetu ni mmoja tu. Hao miungu wengine wametengenezwa na binadamu au wamezaliwa na binadamu sio miungu.
Utafikiri hicho kitabu chenu cha mapepo unakisoma wewe peke yako. Mbona Kiko uchi kabisa na ushetani wake.
 
Mimi naongea ukweli nyie endeleni kuimba Haleluya kama itawasaidieni. Mtanikumbuka mkisha fika makaburini kama Yesu atawasaidieni.
Ungekuwa muungwana ningekufundisha hiyo Quran yako na Biblia ukitaka. Lakini bahati mbaya una degree ya matusi.
 
Kwa hiyo kutafsiri unashindwa? Kikubwa nyie mnaogopa yule Israeli ataishi roho juu juu ...Hao jamaa ni milele hakuna wa kuwaangusha ,huyo USA mpaka awavizie ...Hizbullah idumu milele
Hezbullah ipo na inazidi kuwa na nguvu wacha wafuasi wa mkosa nyumba alie lala pale njia ya panda ya kwenda Damascus na Jerusalem aendelee kuliota shetani lake huko kaburini kama alikuwa Yesu 😄 🤣
 
Wacha ujinga wewe hakuna miungu kuna Mungu mmoja tu, hata Yesu aliwambia wayahudi Mungu wetu ni mmoja tu. Hao miungu wengine wametengenezwa na binadamu au wamezaliwa na binadamu sio miungu.
Usikariri. Tafuta Mungu wa kweli wa Afrika. Acha kutukiza miungu ya kigeni. Hizo dini za wakoloni ni man made ili kutawala wengine.
 
Ungekuwa muungwana ningekufundisha hiyo Quran yako na Biblia ukitaka. Lakini bahati mbaya una degree ya matusi.
We unifundishe mimi Qur'an mwenye majina kama utitiri. Wewe bibilia huijui hebu niambie wapi kwenye bibilia kuna Trinity.

Afu Holy Spirit ailikuwepo kabla ya Yesu au walizaliwa wakati mmoja 😄 🤣

Matusi kama umeanza lazima nikutukane tu, situkani mtu bila sababu.
 
Usikariri. Tafuta Mungu wa kweli wa Afrika. Acha kutukiza miungu ya kigeni. Hizo dini za wakoloni ni man made ili kutawala wengine.
Kwani uliitwa ? Punguza shobo kila mtu afuate anachotaka ...Miungu ya Afrika haipo ni stori za kahawa.
 
Usikariri. Tafuta Mungu wa kweli wa Afrika. Acha kutukiza miungu ya kigeni. Hizo dini za wakoloni ni man made ili kutawala wengine.
Hivi Africa kumbe wana miungu yao labda ile ipo misitu ya Congo.

We tumia akili Mungu ni mmoja tu.
 
Soon Iran anasaini mkataba wa Amani na Marekani anawauza makobazi wa Kiarabu
 
Una uhakika wewe kichwani una akili? Mimi naona umebeba tope zito tu.
We kama unaona nimebeba tope wewe utakuwa unakasoro flani tu kichwani kwako. Sababu mwenye kusema Yesu ni Mungu hata mende kamzidi akili 😄 🤣
 
We kama unaona nimebeba tope wewe utakuwa unakasoro flani tu kichwani kwako. Sababu mwenye kusema Yesu ni Mungu hata mende kamzidi akili 😄 🤣
Acha kuwa mtumwa wa dini za wakoloni na watesi wa babu zako.
 
Acha kuwa mtumwa wa dini za wakoloni na watesi wa babu zako.
Mimi sijawahi kuwa mtumwa, mimi ni Original, family yangu haina uhusiano na watumwa hata chembe.

We ukitaka tukuajiri njoo tukuwache uwe mpishi
 
Back
Top Bottom