dogo we wachana na Suleiman Rushid, huyo alikuwa hajui lolote zaidi ya tarabu za kuwafurahisha wafadhili zake wakristo. Kitabu cha Hindus Holy Book kabla ya Ukristo na Uislam sikia kinasema nini. Kabla ya miaka 1000 kuja kwa Mtume Muhammad. Kilitabiri atakuja Mtume anaitwa Muhammad na baba yake ni nani na atazaliwa wapi. Afu mnatuletea ujinga eti ukristo ulikuja kabla ya Uislam, na kitabu cha Mussa kilimtabiri atakuja Mtume kama Mussa na ataleta sheria mpya ambaye ni Mtume Muhammad nyie mkajidai Yesu, lini Yesu alileta sheria hebu tupeni sheria ipi alio leta zaidi ya kusema sikuja vunja sheria ya Mussa bali kuiendeleza😄 🤣 Lini Yesu alikuwa kama Mussa. Yesu hakuwa na baba na mama, Yesu alikuwa na mama tu, hakuwa na mke au watoto hakuleta sheria vipi awe Yesu vichaa kweli nyie wafuasi wa Paulo.
View: https://youtu.be/06Fracwj9WU?si=QLrAd5FEDZ5DFbWJ
Ukristo ni dini ya Paulo.