MlimaSayuni
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 6,546
- 11,655
Ni pigo Gani hawa Kobazi walipata?
Wapi FaizaFoxy, Hezbollah kwa zaidi ya Miaka 30 imekuwa ikimiliki Silaha nzito kuliko Serikali ya Lebanon na mafunzo yao yalikuwa Imara kuliko Jeshi la Hezbollah. Ila Tangu Nasrallah afe wamekuwa mdebwedo Hadi kufikia hatua ya kusema wako tayari kusalimu amri na kuachia Silaha zote Kwa Serikali.
View: https://x.com/Osint613/status/1909914085866504447
Kitabu Cha Muhubiri kinasema "Life is meaningless, Imagine you work hard(toiling) all your life and when you die all you worked for, to go someone who doesn't care lose all your wealth"
Hili liwe fundisho na kumbusho kwa Magaidi na mashabiki wa Ugaidi, siku ambayo Netanyahau anakuua kesho yake Magaidi wenzako wanakusahau na wakichoka wanaacha ugaidi
Wapi FaizaFoxy, Hezbollah kwa zaidi ya Miaka 30 imekuwa ikimiliki Silaha nzito kuliko Serikali ya Lebanon na mafunzo yao yalikuwa Imara kuliko Jeshi la Hezbollah. Ila Tangu Nasrallah afe wamekuwa mdebwedo Hadi kufikia hatua ya kusema wako tayari kusalimu amri na kuachia Silaha zote Kwa Serikali.
View: https://x.com/Osint613/status/1909914085866504447
Kitabu Cha Muhubiri kinasema "Life is meaningless, Imagine you work hard(toiling) all your life and when you die all you worked for, to go someone who doesn't care lose all your wealth"
Hili liwe fundisho na kumbusho kwa Magaidi na mashabiki wa Ugaidi, siku ambayo Netanyahau anakuua kesho yake Magaidi wenzako wanakusahau na wakichoka wanaacha ugaidi