farmersdesk
Senior Member
- May 26, 2012
- 164
- 120
Mimi sina kitambulisho cha mpigakura wala pass ya kusafiria na heslb wana hitaji copy ya kimoja wapo nifanyeje??nahitaji ushsuri jamani
Kweli hili tatizo , wengne wanasema card ya mlezi na wengne card ya muhusika(mwanafunzi)
u gonna listen 2 wat ،others، say or wat d ،form، says؟‎
kwanza pass ya kusafiria n nn hiyo??????????