jooohs
JF-Expert Member
- Jul 26, 2017
- 3,241
- 12,736
Ilitutokea 2016 udsm majina ya mara ya kwanza mimi na wenzangu tulipewa 100 percnt baada ya wiki moja tukasikia majina mapya yametoka kwenda kuangalia wengine wamepata asilimia 0 wengine majina hayapo kabisa daa inauma sana.Jamani mm kwenye majina ya kwanza waliopata mkopo nipo ila jina language kwenye loan allocation halipo hii imekaaje chuo sua
Ila jaribu kufatilia pia ikiwezekana wahi chuoni uendee kwa afisa mikopo atakusaidia haraka utapatiwa mkopo wako.

