HESLB

HESLB

cmomwa

Member
Joined
Jun 19, 2016
Posts
55
Reaction score
8
Jamani wana jf wenzangu ningependa kujua kama allocation ya mikopo ishafanyika batch1 bado au tayari.
 
Sua tayari
Screenshot_20181028-145411.jpeg
 
hahhhh shukuru hicho kdg wengine hata allocation bado
Asa kama ashukuru hichohicho cha tuition fee 0 wewe kwanini unalilia kujua allocation wakati una uhakika wa kupata 0 and above?
Au haukuona aliposema tuition fee ni 0?
 
Jamani mm kwenye majina ya kwanza waliopata mkopo nipo ila jina language kwenye loan allocation halipo hii imekaaje chuo sua
 
Jamani mm kwenye majina ya kwanza waliopata mkopo nipo ila jina language kwenye loan allocation halipo hii imekaaje chuo sua
Mkuu usiwaze, mkopo utakua umepelekwa chuo kingne, angalia vzr admission yako
 
Back
Top Bottom