HESLB yapiga Ramli

Samahan mkuu hivi boom linatolewa awamu ngapi kwa mwaka,?
 
Samahan mkuu hivi boom linatolewa awamu ngapi kwa mwaka,?
Boom kwa siku ni 8500 na linatolewa mara nne kwa mwaka yaan laki 5 na point baada ya miez miwil.kumbuka mwaka wa masomo una miez 8 iliyogawanyika ktk semester mbili.so kila semester unapewa boom mara mbili.
 
Samahan mkuu hivi boom linatolewa awamu ngapi kwa mwaka,?
Mara mbili.. Mara ya kwanza ni meals n accomodation pamoja na 'Book (Beer) allowance' ingawa hakuna wanafunzi wananunuaga vitabu... Miaka ile SUA ilitaka kuwanyang'anya wanafunzi pesa ya vitabu eti iwe inawanunulia vitabu...Weee! Kunji (mgomo) lake lilikuwa si la kitoto... Yani umnyang'anye mwanafunzi hela atakuelewa!
 
Kwa Wale wa nursing kuna aliyepewa hela field practical and training na ya special faculty requirements?????
 
Hahah nimekuelewa vizuri mkuu!
 
Mdau huu mzigo ni kwa mwaka mmoja ama vipi!
Na ukipewa unapewa kwa installment ngapi?


Pesa unapewa kwa awamu NNE kwa mwaka inamaanisha kwa kila semester unapewa Mara mbili na semester moja INA miezi minne so kila baada ya miezi miwili utapatiwa fungu lako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…