Hawo ni waliopata udahili chuo kimoja.
Je sisi ambao tumepata udahili vyuo viwili na zaidi, na hatuna option ya kuconfirm ni chuo kipi tutaenda si tutakuwa tumefanyiwa fitina????
Udsm walitoa list yao ya approved selectio na wakasema waliopo kwenye listi hii hawana haja ya kuconfirm,
mzumbe nawo wakajakutoa approved selection tarehe 16/10.
Mbona bodi wanaweka vikwazo ambavyo ni unreasonable!