HESLB: walio appeal this year

HESLB: walio appeal this year

nyakandula

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
1,251
Reaction score
1,735
Nimepata taarifa kutok baadh ya wanafunz wa chuo flan walikwisha appeal mapem mno BAADA YA tangazo la heslb kwamba sas hiv washapewa mikopo, ningependa kujua km wapo humu nipate uthibitisho km kwel au la! Navojua deadline ni January
 
Jipeni imani hela tulizi allocate kwenye sherehe za Uhuru kwahyo msubiri mpaka tukusanye kodi tujue tunawapa au hamupati
 
Kuna private candidate yoyote kapata mkopo kweli? Kwenye zile coz za kipaumbele au ndo vile tena majanga
 
Back
Top Bottom