HESLB vipi kuhusu batch two mliyoahidi?

HESLB vipi kuhusu batch two mliyoahidi?

Billy philip

Member
Joined
Oct 24, 2019
Posts
15
Reaction score
8
Jamani hivi hawa Loan Board mbona wanazingua? Walisema kuwa batch two watatoa kabla ya tarehe 25.

Mbona kimya?
 
Siku bado mbichi kijana tulia
 
majina wanatoa muda wowote kuanzia sasa so subir na uwe mpole
 
Hivi batch hii ndio ya mwisho au kutakuwa na nyingine
 
Jamani hivi hawa loan bord mbona wanazingua walisema batch two watatoa before 25.mbona kimya
Yaani hawa loan boad hawako sereous na ratiba zao sio kama tcu, wanakutajia tarehe ukifika muda waliosema unakuta hakuna walichofanya. walisema before tar 25 watatoa lakini mpaka saivi hakuna kitu.
 
Jamani hivi hawa loan bord mbona wanazingua walisema batch two watatoa before 25.mbona kimya
Batch ya pili tayari imetoka wewe fungua akaunti yako uliyotumia kuombea mkopo bodi utapata majibu.
 
Kiongozi kama huamini nenda kwenye akaunti yako ya bodi ya mikopo utapata majibu.
Aisee, em post screenshot yako. Kuna bwana mdogo kaandikiwa hivi kachanganyikiwa hapa.
IMG_20191025_191749.jpg
 
Back
Top Bottom