Mbona kama kwenye account watu wameshaabiwa mbivu na mbichi mkuuTusubir keshoView attachment 1244626
Sasa hawa jamaa inabidi tumuulize waziri mwenye dhamana maana kama wao walijinadi kuwa watahakikisha mikopo inawafikia walengwa kabla ya vyuo kufunguliwa na vyo ndo hivyo tayari kesho watu wanaripoti .sasa inakuwaje tena kuendelea kusema bado kuna batch zinaendelea hawaoni kama kuna watu watakuwa wamrwaktisha tamaa ya kwenda vyuoni kwa sababu tu ya kukosa ada. Pia ifike mahali wawajulishe watu mapema kwa kuwaambia kama imeshindikana kuliko kuweka stutus Mara Leo wanakuandikia" wait for the next batch. Wait for subsequent batch na mwisho analysis on progress " alafu pamoja na maneno yote hayo kila batch unakuta hakuna kitu na muda unazidi kwenda.tatizo hawa jamaa hawabadiliki kitabia ila kimaneno maana kama walisema kabla ya vyuo kufungua. Inakuwaje tena mikopo ukukute chuoni?mm cjui wao wanatafsiri vipi hili neno MKOPO.maana hii siyo zawadi ni jambo ambalo next huyu mlengwa atatakiwa kulipa tu pasipo kujali course au hali ya familia aliyotoka.Aisee, em post screenshot yako. Kuna bwana mdogo kaandikiwa hivi kachanganyikiwa hapa.
View attachment 1244553
yanguMbona kama kwenye account watu wameshaabiwa mbivu na mbichi mkuu
Kuna majina yametolewa zaidi ya yale ya batch 1 ya tarehe 17?Kwenye acount yangu bado hata verification lkn kwenye list ya majina waliyotoa nimo, vp hapo inakuaje? Naomben msaada
yangu
Ndyooooo yametoka trh 25Kuna majina yametolewa zaidi ya yale ya batch 1 ya tarehe 17?
Kwenye website ya HESLB sijayaona mkuu, unaweza ku attach file au link?Ndyooooo yametoka trh 25
Kwenye website ya HESLB sijayaona mkuu, unaweza ku attach file au link?
Inatakiwa ile sehemu ya allocation ionyeshe amepata asilimia ngapi, kama hajapata itaandika "You have not secured loan in batch one and two"Wadau naomba kuuliza.. Hv kama MTU kapata mkopo anaandikiwa nn ktk account take maana kuna dogo ananisumbua hapa.. Nmeingia account take nimekuta form zake za mkopo tyu
Dioio yapKuna majina yametolewa zaidi ya yale yabatch 1 ya tarehe 17?
Ndio wameshatoaKuna majina yametolewa zaidi ya yale ya batch 1 ya tarehe 17?
Kuna majina yametolewa zaidi ya yale ya batch 1 ya tarehe 17?
awamu hii wametoa majina mangapi?simu yangu haisupport pdfKuna uwezekano batch nyingine zikatoka watu tusiwe na taarifa mkuu majina haya umepata wapi maana kwenye web yao bandiko halipo
Wametoa elfu 11awamu hii wametoa majina mangapi?simu yangu haisupport pdf