Admin,naomba uifute hii topic,huyu jamaa anafanya sasa watu wote wa China tuonekane watoto.Nimeongea na mwenyekiti amesema hata jamii forum hajakanyaga so jamaa ametunga id kama ya mwenyekiti ili avute mass,ni utoto mtupu,jila huyu jamaa siku zake ni 40.
tik tak tik...