Majina ya continous wanaoendelea kupata mikopa yameshatoka. Yamepelekwa vyuo husika ambako huko yamebandikwa kwenye mbao za matangazo na website ya chuo husika. Sina uhakika kama ni vyuo vyote wametoa hayo majina ila baadhi kama ardhi univ,muhas na vichahe vingine wamefanya hivyo. Jaribu kuangalia chuoni kwako kuhakikisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.