Wanajiridhisha Kama wapo sahihiMkuu ndo wamesogeza hivyo mbona mbali sana
Tangazo walitoa n tar 15/10 ndio wanafunzi muingie kwwenye website yao msiwe na preshaSawa mkuu
Yaaani bora huyuu anawaza mkopo kuna huyu anawwza majibu yanatoka lini awamu ya pili kutwa kwenye laptop TCU ni kutulia na kumuomba mungu mtafanikiwa serikali yetu hippo taratibumkiendelea nahiki kihelehele mtakosa kabisa hilo bumu
Kweli kabisakuweni na subira vijana, lakin msisahau kufunga na kuomba Mungu awaisaidie, loan board ni pasua kichwa sana