Heslb achieni basi hata awamu ya kwanza!

Heslb achieni basi hata awamu ya kwanza!

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,910
Reaction score
18,558
Inashangaza kuona kuwa heslb walikuwa walikuwa wameahidi kutoa wanufaika wa mikopo kuanzia tarehe 10/10/2017. Baadaye bosi wao akasema watatoa katikati ya mwezi 15/10/2017. Lakini mpaka leo wako kimya tu. Si watoe angalau awamu ya kwanza kwa wale waliopata vyuo, halafu baadaye watoe tena awamu nyingine.
Ni muhimu kutoa mapema ili kutoa nafasi kwa watakaokosa kuangalia plan B! Siyo unatoa leo wakati vyuo vilifunguliwa juzi! Vituko kama vya mwaka jana tusingependa vijirudie ambapo wanafunzi wengine walilazimika kufungasha mabegi kutoka vyuoni kurudi nyumbani!
 
Mwaka jana muda kama huu sisi tulkua tushareport vyuoni, mwaka huu tarehe zimesogezwa adi mwisho wa mwezi, so naona labda wamefanya ivyo ili heskb wapate muda wa kukamilisha kila kitu isijirudie ya mwaka jana, nadhani hadi kabla ya tarehe 30 watakua wameshaachia, ila hofu ipo tu kuhusu majina ya ambao hawakuweka vyeti ambavyo havikuhakikiwa
 
Mwaka jana muda kama huu sisi tulkua tushareport vyuoni, mwaka huu tarehe zimesogezwa adi mwisho wa mwezi, so naona labda wamefanya ivyo ili heskb wapate muda wa kukamilisha kila kitu isijirudie ya mwaka jana, nadhani hadi kabla ya tarehe 30 watakua wameshaachia, ila hofu ipo tu kuhusu majina ya ambao hawakuweka vyeti ambavyo havikuhakikiwa
Hiyo ndo sababu ya kupunguza watu kwenye orodha ya mkopo boi
 
nimesoma bila boom bt nashukuru most ni miaka ya kikwete ila ule wa mwisho akaingia magu vyuma vilikaza life lilikua gum mpaka namaliza siamin

sipatii picha first yr anaanza bila boom awamu hii
mungu awasaidie kwa kweli
 
Hivi kwanin serikali isi bet waweke man city,man u,Chelsea,Madrid,juventus,na barc win harafu waweke bilion 6 ,waone kama hawajapata hela ya mikopo tatizo loan board sio wabunifu,,,n maoni tu
 
Hivi kwanin serikali isi bet waweke man city,man u,Chelsea,Madrid,juventus,na barc win harafu waweke bilion 6 ,waone kama hawajapata hela ya mikopo tatizo loan board sio wabunifu,,,n maoni tu
 
Back
Top Bottom