Shagiguku
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 409
- 138
Ndugu zangu wanaNzengo wa Tanzania popote pale mlipo duniani, hiviii hii hapa noti weye unaiitagaje....!!!???
Je, unaiitaga "JERO...!!!? au Mia Tano..!!!???
Kwa usawa huu wa NGOSHA lazima hadhi na heshima ya noti hii itarudi kuitwa kwa jina lakwe halisi...!
Chezea NGOSHA weyeeee...!
Siku hizi hakuna cha nipe jero wala buku hapa, kwa wale walizoea kusema wana "wekundu wa msimbazi" wa kutosha, sasa heshima mtaaani inarudi
Kila pesa itaitwa kwa jina lakwe halisi kwa awamu hii ya tano...!
Kudadaaada ...!!!
Je, unaiitaga "JERO...!!!? au Mia Tano..!!!???
Kwa usawa huu wa NGOSHA lazima hadhi na heshima ya noti hii itarudi kuitwa kwa jina lakwe halisi...!
Chezea NGOSHA weyeeee...!
Siku hizi hakuna cha nipe jero wala buku hapa, kwa wale walizoea kusema wana "wekundu wa msimbazi" wa kutosha, sasa heshima mtaaani inarudi
Kila pesa itaitwa kwa jina lakwe halisi kwa awamu hii ya tano...!
Kudadaaada ...!!!