Heshima na kujali. Hatimaye mwanamke kaongea

Heshima na kujali. Hatimaye mwanamke kaongea

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,471
Reaction score
829,874
Ukimtumia mpenzi wangu meseji nadhani alikupa namba yake ili umtumie. Ukimpigia nadhani alikupigia kwanza. Ukichill naye nadhani alikuambia utampata wapi. Ninamlaumu mpenzi wangu kwa mazungumzo na uangalifu wowote anaotoa.

Sitamdharau mwanamke yeyote kwa sababu hana deni lolote kwangu. Ni kazi ya mpenzi wangu kuniheshimu. Mwanaume wa kweli hataniweka kwenye nafasi ya kunifanya nionekane mjinga.

Ukimpenda kwa dhati utamheshimu na kumlinda..!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi sijaelewa au nimelewa ili nilipe bill nikalale
FB_IMG_1687365659248.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bro leo unakunywa kinywaji gani mda huu? Isije ikawa helkopter ishapaa tayari maana sijaelewa chochote apa
 
Back
Top Bottom