chichimizi
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 1,074
- 339
“Yeye afanye tu. Kama kuna watakaoumia, ataomba radhi, watamsamehe. Wewe ulijua mbwa wa polisi anaweza kwenda kulinda kwa mtu?” Augustine Mrema.
Tangu lini sniffer dog akaenda kulinda, huo ni uropokaji tu yule mbwa popote aendapo lazima awe na handler wake ambae ni askari tena kwa kazi aliyofunzwa tu ambayo ni utambuzi sasa alienda kunusa pilau au.“Yeye afanye tu. Kama kuna watakaoumia, ataomba radhi, watamsamehe. Wewe ulijua mbwa wa polisi anaweza kwenda kulinda kwa mtu?” Augustine Mrema.