Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 21,498
- 37,792
Mechi Kati ya Simba na Namungo imemalizika Kwa Sare ya 1-1.
Kwangu kilichonifurahisha ni jinsi Mwamuzi wa Kati na Mwamuzi wa 4 walivyojitahidi kutunza Muda wa mchezo.
Kumbe marefa mnaweza mkiamua. Namungo walijitahidi kupoza mchezo na kupoteza Muda lakini Sasii aling'amua ujanja wao.
Leo Muda uliopotezwa hauzidi dakika 5 na kweli zikaonhezwa 4. Waamuzi wengine mna la kujifunza Kwa Sasii kuhusu suala la time management.
Kwangu kilichonifurahisha ni jinsi Mwamuzi wa Kati na Mwamuzi wa 4 walivyojitahidi kutunza Muda wa mchezo.
Kumbe marefa mnaweza mkiamua. Namungo walijitahidi kupoza mchezo na kupoteza Muda lakini Sasii aling'amua ujanja wao.
Leo Muda uliopotezwa hauzidi dakika 5 na kweli zikaonhezwa 4. Waamuzi wengine mna la kujifunza Kwa Sasii kuhusu suala la time management.