@Amavubi Kwani neno (like) linauzwa humu Jamvini J.F.? mimi nikipendekezwa na maneno yako natowa (like) wasiotowa hao ni wabaya na wanafikiri (like) ukipewa labda Moderator atakupa pesa hahahahah.Ama Kweli
Nimependa sana hii ya MziziMkavu...............Yeye Hutoa Like Kwa Karibu Kila Thread...................(hata hii atatoa)