Mnyika anaelezea jinsi CCM walivyokuwa wanapinga Rasimu ya katiba mpya...Mnyika anaeleza kuwa wananchi wana mambo mengi ,,....wanakerwa na mambo mengi........anaeleza hali halisi ya maisha ya watanzania na jinsi wananchi wanataka mabadiliko makubwa...CCM imekwama kuwa na matokeo ya haraka na imeleta mchakato wa BRN wa kiusanii