Here comes Daudi Albert Bashite

Nani alikuambia wachina hawajaenda shule. Wao wanajifunza kwa lugha yao mpaka PhD. Hivyo kutojua kwao kiingereza isikufanye ufikiri kuwa hawajasoma.

By, the way, huwezi kurun a modern economy kama China bila watu wako kuwa wameenda shule ya maana.
 
Tuachieni Makonda wetu, tunajuwa ana damu ya kunguni, wacha aendelee kuhudumia raia wa mkoa wake..
 
Asante!
 
Please respond in English to match with original post.
 
Yabainishe na kuyasahisha ili wengine tujifunze maana JF ni darasa pia
Sawa nimeelewa maana ya majibu yako. Kikijua Kidhungu ni kazi kweli kweli
Sina huo muda. Angalia tu utayaona wazi wazi. Kwa kukuonjesha kidogo tu:-

...To most people whose vision are myopic and who believe that they are at the mercy of the rulers he is the long awaited savior...

...would have at least a half of his creative genius may be we would have a better world...
 
Tumetoka kwenye kuangalia utendaji, tukaja kwenye ung'enge na sasa tupo kwenye kitu kinaitwa 'character assassination'.Wali najiuliza ni mbona tunapoteza muda mwingi kwa vitu ambavyo ni vya kupita na ambavyo hata majibu yake tulishayaoona.Hivi LOWASA, SUMAYE, MALECELA hawakuwa mawaziri mkuu. Ni nani angetegemea kumuona Dr SLAA IKULU akitabasamu na Mwenyekiti wa CCM na nani angejua kuwa MAKAMBA NA NAPE wangefunga midomo,Historia ina njia zake za kawaida tu za kutufundisha shida yetu sisi ni wasaulifu sana.Tuache watu wapige kazi, waharibu kazi zao na historia itawahukumu wakijisahau!!!!!
 
Nani alikuambia wachina hawajaenda shule. Wao wanajifunza kwa lugha yao mpaka PhD. Hivyo kutojua kwao kiingereza isikufanye ufikiri kuwa hawajasoma.

By, the way, huwezi kurun a modern economy kama China bila watu wako kuwa wameenda shule ya maana.
na sisi basi tutumie lugha yetu mpk vyuoni hili tuelewe kama wachina........mwingereza mwenyewe kapitwa maarifa na mchina.....
 
..........daaah ndo alivyo andika !?? mie nimeoita juu juu tu !
Ukimsikiliza Bashite mtu ambaye hamfahamu vizuri anaweza kudhani ni kiongozi mzuri lakini nyuma ya pazia ni mshenzi aliyetukuka
 
Hujamuelewa rudia kusoma tena but this time BETWEEN THE LINES
 
Upuuzi kufikiria Kiingereza ndio lugha ya mbinguni. Makosa ni makosa tu.
Wewe kama waliokuwa na wajibu wa kukupeleka shule walikuwa ignorant of that, let people make an impressive written and spoken Lugha ya Malkia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…