Here comes Daudi Albert Bashite

Here comes Daudi Albert Bashite

Ujinga nikumpamba mjinga kwa ujinga kudhania wote tu wajinga kwa ujinga wa mleta mada na upumbavu wa anayesifiwa kwasababu nimjinga kwa vyeti feki, mjinga kwa program zakijinga... Tokomeza dada powa, tokomeza wanamuziki, ujinga wakuvamia wanahabari, ujinga wakujikweza kama Mungu, ujinga wakujiona zaidi ya pm ujinga wakudhani yeye ni bora bila vyeti ila wengine hapana.

Very silly post.
Hahahahah unafedheheka brethren haka kalugha kakikafri nadhan kamekuchanganya kidogo soma kwa kwa sauti labda utaelewa
 
Wache wajitese siwaonei huruma we watu ashite aawadharilisha na kuwatoa utu bado wanarudia let them fucked up
 
Nashanga kipofu anaona makosa ya lugha lakini makosa ya Bashite and Co mnajifanya eti hamuoni.Kumbe mmezoe kupiga chabo mnacopy hadi namba ya mtihani oneni sasa mnavyojificha jua kwenye vivuli vyenu wenyewe
Mnajifanya mnajua sana Kiingereza ili kuficha ukilaza wenu, ha ha ha. Malofa wakubwa nyie.
 
Back
Top Bottom