Herbert Faustin: Mama Janeth Magufuli usisome anachoandika Dkt. Kigwangalla

Herbert Faustin: Mama Janeth Magufuli usisome anachoandika Dkt. Kigwangalla

Tusipoteze muda mwingi kumwongelea huyu CHIZI.
Hakuna UPUMBAVU mkubwa zaidi ya upumbavu kama wa huyu CHIZI.
Mwanaume mzima tena mwenye mke na watoto unasubiri aingie kaburini ili uanze kumrushia mawe!
Huu ni UBOYA wa kupitiliza.
Ni UBOYA kwa sababu haya yote hakuyasema wakati CHUMA akiwa hai.
Angekuwa na Akili hata za kiwango tu cha darasa la tatu, angeweza kuja na ushahidi wa Nchi zilizotumia chanjo na zimefanikiwa kutokomeza CORONA, kinyume na hapo ni UBOYA tu huo.
Rais anatakiwa kuwa makini sana na MABOYA kama huyu, kwani katika kipindi hiki cha TEUZI watatokea MABOYA wengi sana.
Tujikumbushe kauli mbili za mwisho za Hayati:-
(1)Ndugu zangu Watanzania,mtatishwa sana lakini simameni imara.
(2) Mtanikumbuka kwa mazuri niliyowafanyia.
 
Kila Msiba una wenyewe, tumuache huyu Mama.
 
kigwangala.jpg

kigwa vs gates.jpg
 
Sisi wapiga kura wake tunasubiri tu 2025 tumunyooshe,hawezi kutaka chanjo ili tugande damu kwa maslai binafsi.Tunajua JK alimbeba Bashe aliongoza kwa 12000, Seleli 3000 , Kibwangala 1500 na ndiye aliyebebwa na Jk,tunakusubiri maana naona baada ya muda utashauri tupimwe corrona kwa kipimo kipya.
Kigwa misheni town tu.

Na aminiki ndio maana MO alimchinjia baharini kuhusu suala la mkopo wa pikipiki.

Naungana na mleta UZI na UZI umetulia sana umempa makavu YUDA ESKARIOTI alias Hamis K
 
Kigwangala yuko sahihi. Hiko kibanda cha nyungu vunjeni hapo Muhimbili. Mbona ziko sehemu nyingi tu mnazoweza kuweka nyungu. Badala ya kulazimisha kibakib Muhimbili Ikiwezekana pelekeni Chato.
'Ata mama Gwajima akijimilikisha akapeleka kwake hatumdai!
1617654134818.png
 
SIASA JUU YA MASIKINI HAZIJAWAHI KUMKOMBOA MASIKINI.
SIJAONA BADILIKO LOLOTE LA KUGEUZA MAISHA YA MASIKINI KWA KIWANGO KIKUBWA..KWA KIASI CHAKE
HAYATI JPM KAJARIBU JAPO NI KWA KUPITIA NJIA NGUMU KAMA YA MUSA NA ISRAELI YAKE.
MUDA SI MREFU TUTASHUHUDIA KULAUMIANA..SIJAWAHI KUONA WATU WAKIFIKIRIA KUUNDA FALSAFA NA MIFUMO YA UTAWALA UNAOENDANA NA MAISHA YA MTANZANIA.
SHIDA ZETU NYAKATI HIZI ;
1.UMASIKINI (Njaa,Ushirikina,Udini,Uongo..)
2.UBISHI
3. ULAFI/UFISADI
NGOJA MAMA NAE AJITAHIDI TUONE TUTAKAPOFIKIA
MWENYEZI MUNGU AMSAIDIE KATIKA VITA YA MAENDELEO HAPA DUNIANI.
 
Mtu ameshakufa, ameoza ila bado mnamuogopa ama kweli DIKTETA UCHWARA alikuwa kiboko.

Kosa la Kigwangala ni kuongea ukweli? Hivi kujifukiza kunatibu Corona?

Kigwangala yupo sahihi 100%
Acha kutetea upuuzi wa huyu Mnyamwezi bwege, nafiki na kigeugeu!!
Huo ukweli sahihi 100% wa Kigwangala uko wapi hapo? Mbona hakusema huu ukweli kabla Jiwe, Mwamba au uncle Magu haja rest in peace??
Kweli Kigwangala amedhihirisha kiwango cha UNAFIKI WA WATANZANIA.....!!!
Shame on him...!!!
 
-Wasanii Wengi Umaarufu Wao Unapoanza Kuisha Ndio Wanaanza Kuwa Humble Kwa Mashabiki Zao.
.
-Wanasiasa/Viongozi Wengi Wanapokosa Au Kunyimwa Cheo/Madaraka Ndio Huanza Kuunga Mkono Hoja Za Wanaoikosoa Serikali.
.
-Matajiri Wengi Wanapofilisika Ndio Huanza Kuwaheshimu Masikini.
 
Mtu ameshakufa, ameoza ila bado mnamuogopa ama kweli DIKTETA UCHWARA alikuwa kiboko.

Kosa la Kigwangala ni kuongea ukweli? Hivi kujifukiza kunatibu Corona?

Kigwangala yupo sahihi 100%
Msimu wa embe umeisha nyani wote mataga watakonda
 
Mtamuua kila mtu lakn Kwaajili pesa lakn Afrika(hakuna) corona.JPM Hajafa bado yuko kwenye mioyo ya watz
 
Kwa urefu huo wa uzi..

Ni dhahiri kuwa unakaa kwa shemeji na huna kazi zaidi ya hio elfu saba unayopewa Lumumba na chakubanga...

Mke wa hayati JPM anahusikaje na huo ufalla ulioandika..
 
Bado meko mnamuogopa ? Mkuu ukisha kufa huna chako kwa waliobakia wenye uhai utastaajabu kuna wajuba watamla maza alie achwa na mwenda zake
 
Acha kutetea upuuzi wa huyu Mnyamwezi bwege, nafiki na kigeugeu!!
Huo ukweli sahihi 100% wa Kigwangala uko wapi hapo? Mbona hakusema huu ukweli kabla Jiwe, Mwamba au uncle Magu haja rest in peace??
Kweli Kigwangala amedhihirisha kiwango cha UNAFIKI WA WATANZANIA.....!!!
Shame on him...!!!
Kama ni mwamba mbona Corona imemfyekelea mbali.

Eti Corona ni kaugonjwa kadogo kkkkk

Ilibidi maiti yake ipigwe viboko kwa mambo ya Kinjekitile aliyotufanyia.
 
Back
Top Bottom