Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 22,648
- 27,284
Mwili ni matunzo pamoja na kula vitu vizuri na kupunguza pombe,sisemi tusinywe hapana Bali tupunguze!>>Kuna wimbi la vijana wetu kuwa na mwili na sura za kizee,na wazee wetu wale wanaojitambua kwa kula vitu ambavyo mwili huitaji,kuonekana bado vijana sana,
Afya zetu ni muhimu sana,kwani afya nzuri hujengwa na vyakula tulavyo na ndiyo mtaji namba moja wa mwanadamu.Hii ipo vizuro