Anaboa sana na maneno yake anayoyarudia rudia kila siku. Kwa mfano akianza kumpamba Niyonzima lazima aanze na "kiungo mwenye chenga zisizomithilika....", au Yanga "kutoka mitaa yenye jina la mnyama mwenye shingo ndefu...". au Simba " kutoka mitaa yenye pilikapilika nyingi...