Mtu aripoti kuhusu habari au link ambayo ni:
a. Yenye kuchochea, kushauri, kupanga kitendo cha jinai.
b. Chenye mambo ya watu wazima nje ya forum ya 'mambo ya kikubwa'.
c. Yenye kutishia maisha ya mtu, madhara ya mwili au madhara ya vitu, mali, na mahali. (Yenye mrengo wa kighaidi)
d. Matusi ya nguoni katika kadamnasi ya hoja, vitendo vya kudhalilisha jinsia au vyenye kudhalilisha kundi au watu au vyenye msingi wa kibaguzi.
a. Kulalamikia kutaniwa au kuzidiwa hoja
b. Kejeli au kauli za utani.
c. Isitumike kutafutana kisasi
The following is a rough guideline to acceptable use of the REPORT button:
The use of the REPORT button for following issues will or may be considered unacceptable:
Thank you !
PM, m'pm brazameni....anajua kona na directions zote za kuingia huko..... lol !!!Hilo jamvi la wakubwa liko wapi na linaingiwaje?
PM
Hilo jukwaa lipo Dunia ipi jamani?Hilo jamvi la wakubwa liko wapi na linaingiwaje?
PM