1. Ulikua unatumia hyo hotspot sahiv ndo imegoma?
2. Ukitumia internet kwenye sim inapatikana?
Mara nyingi huo ujumbe unakuja endapo kama internet iko down kutoka kwa carrier wako
haya masimi jau tu,langu limegoma kuingiza application ya aina yoyote kutoka apps store,mbaya zaidi linaonekana ni tatizo common lisilo na ufumbuzi wa uhakika.maama naambiwa huwa inakuwa hivyo then inakibali baadae.
simu iko na vasion 11.
Nenda setting kisha cellular alafu utaikuta huko personal hotspot na kuingiza password kila kitu (au hata huko haionekani na inagoma?)...Sijawahi kutumia Hotspot ndiyo nilitaka kuanza lakini ndo imegoma.Na nikitumia kwenye simu internet napata kama kawaida tu wala haisumbui.
Nenda setting kisha cellular alafu utaikuta huko personal hotspot na kuingiza password kila kitu (au hata huko haionekani na inagoma?)...
Vizuri kama imefanya kazi maana nimejaribu tu kukuambia ufanye hivyo nilidhani kuna tatizo kubwaNakushukuru sana sana nimeingia huko na sasa mambo yako vizuri sana inafanya kazi vizuri sana.
5sUnatumia simu aina gani??
mkuu ktk swala la simu sijui kama kuna simu inaweza nisumbua,mpaka nimelalamika ujue imenivuruga.Kati ya simu nzuri sana ni hiyo Iphone 5S hasa wewe kipi kinakusumbua kwenye hiyo simu????
mkuu ktk swala la simu sijui kama kuna simu inaweza nisumbua,mpaka nimelalamika ujue imenivuruga.
si haikubali kuingiza application ya aina yoyote kutoka app store,ita load halafu inakata.
jioni hii nikajaribu kuunga wifi simu kwa simu ikakubali,lakini kwa data ya kawaida au wifi nyingine ni no.
ok ngoja nitafiti.huwenda ikawa.Kwa haraka haraka sehemu network ni ya mawenge lakini ukipata sehemu yenye network safi haitakuwa na shida sana!!
mkuu ktk swala la simu sijui kama kuna simu inaweza nisumbua,mpaka nimelalamika ujue imenivuruga.
si haikubali kuingiza application ya aina yoyote kutoka app store,ita load halafu inakata.
jioni hii nikajaribu kuunga wifi simu kwa simu ikakubali,lakini kwa data ya kawaida au wifi nyingine ni no.
mkuu ktk swala la simu sijui kama kuna simu inaweza nisumbua,mpaka nimelalamika ujue imenivuruga.
si haikubali kuingiza application ya aina yoyote kutoka app store,ita load halafu inakata.
jioni hii nikajaribu kuunga wifi simu kwa simu ikakubali,lakini kwa data ya kawaida au wifi nyingine ni no.
Mkuu hapo issue ni ndogo sana
unachopaswa ni kuruhusu App Store itumie mobile data basi