Asanteni wadau kwa mchango wenu,laptop yenyewe,ukiwasha tu directly inakuletea blue screen,nimetumia hirens boot niliyoweka kwenye flashi,nikaona ngoja labda niformat,nimewipe drives zote,nikatengeneza partition upya, kwahiyo option ya safe mode tuseme haipo,nimeweka bootable xp kwenye flash,
Ukianza installation inafanya kaz vizuri inacopy files zote ila inapofika,''windows is starting! Ndo hako ka screen kanatokea,kwa kutumia hirens,nimefanya diagnosis,hard disk sectors ziko fine,nimetumia pia master boot record tools kuchech tazizo,sijapata ufumbuz,nimegoogle error niliyopata kwenye net,
Solution nyingi ninazoziona zinaelezea kusolve tatizo kama os ipo ndani,lakini hii haina hata os,reason ya kuiformat ni kwamba ilikuwa hata hairespond kwenye safemode wala kurepair zaid ya kuleta blue screen.
Kama alivosema mkuu hapo juu,pengine ni registry errors,au boot sector virus,au kinginecho,nashindwa kujua namna ya kutatua haya matatizo kwasababu hakuna os ndani ya lap,