Mr Penal Code
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 823
- 213
hellow Naomba kuuliza Bei ya Ram Gb Moja ni sh Ngapi pamoja na ufundi je ninaweza kubadilisha Ram peke yake bila kubadilisha vitu vingine kwenye laptop thankx
Mkuu, ukiulìza kitu humu inabidi uwe mpole kusubiria. Majibu mengine huwa yanachukua mpaja siku mbili. Usidhani kuwa umechuniwa. RAM hazifanani bei, weka precise model, na wadau watakuambia, maana ndo hawahawa baadhi wanauza. Huhitaji fundi kubadili RAM, unless kama hauwezi kabisa, ni rahisi tu. Mwisho, unaweza kubadili/ongeza RAM peke yake.