Hellow!!,, its Nicky kuna dada 1 nampenda

Hellow!!,, its Nicky kuna dada 1 nampenda

Nicky Sean

Member
Joined
Jan 19, 2014
Posts
14
Reaction score
4
kuna dada 1 nampenda xana na ananipenda bt huwa aNanilazimisha kusex wakati bado tuko skuli,na mimi sipendi to do so,nifanyeje?!
 
hilo ni tusi lako hapo juu usengery mmezidi nyie watoto muende kwa watoto wenzenu sie watu wakubwa.
Mmesikia nyie vitoto ?
 
Wewe mtoto shule zimeshafunguliwa unafanya nini hapa. Haya upesi kasome, hasara tupu badala ya kufikiria masomo na kufaulu mwende chuo kazi kutamaniana tu. Ndio maana Ukimwi hauishi
 
teh teh teh...mwambie anitafute kesho ndio TOD....
 
Back
Top Bottom