Hellooooooooooo

Hellooooooooooo

Ainekisha

Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
10
Reaction score
0
Habari wadau? Kwanza hongera wapiga kura wa jimbo la Nyamagana na Ilemela kwa ushindi wa kishindo.
 
Habari wadau? Kwanza hongera wapiga kura wa jimbo la Nyamagana na Ilemela kwa ushindi wa kishindo,originally posted by AINEKISHA

Tupe matokeo zaidi mkuu,ina maana na Diallo naye ameanguka!!!
 
Mbona Bw Kabwe hataki kutangaza ushindi huo?au anataka kuchakachua matokeo?

  • :rip: Masha


 
Tarrifa iliyopo mpaka sasa ni kuw amasha anaongoza..............
 
Back
Top Bottom