2009-04-04193
New Member
- Nov 5, 2011
- 1
- 0
Natafuta kazi ya Uhasibu kwa mwaka ujao wa 2012 baada ya kuhitimu shahada yangu ya uhasibu katika shule biashara ya chuo kikuu cha Dar es salaam
ndugu yangu kazi haitafutwi hivyo kimasiharamasihara. maliza chuo ndo uyaone.Natafuta kazi ya Uhasibu kwa mwaka ujao wa 2012 baada ya kuhitimu shahada yangu ya uhasibu katika shule biashara ya chuo kikuu cha Dar es salaam
kwa nini hawana wakati kila siku kazi zinatangazwa? unawajua kwa majina?Da kweli we mwehu! Yan nan akuwekee kaz mbaka umalize wakati kuna wahasibu zaid ya 4000 hawana kazi
kwa nini hawana wakati kila siku kazi zinatangazwa? unawajua kwa majina?
amini ucamin Ivuga wapo mtaani ,ninae ndugu yangu ana mwaka wa pili nyumbani tangu achukue degree yake ya uhasibu. Kila anapoapply hola,hadi amekata tamaa.kwa nini hawana wakati kila siku kazi zinatangazwa? unawajua kwa majina?
Kuna kitu ningependa kushauri vijana hasa wahasibu.kazi za uhasibu ni nyeti na inahusisha pesa,ukitoa serikalini, SMEs ndio wanaotegemewa kutoa ajira nyingi,lakini bness owner wengi wanapenda kuweka mtu kwenye pesa anayemfahamu(au kupitia goodwill ya mtu mwingine).kuwa na qualification na kuwa mwaminifu unapokabidhiwa mamilioni cash ni vitu 2 tofauti! Hata ingekuwa wewe huwezi kuokota mtu kisa ana qualification ukampa uhasibu na cash kibao! Nashauri unapokuwa unasoma tengeneza network ya kufahamiana na watu hasa wahasibu ili ukimaliza na pakawa na nafasi somewhere wakushtue lakini pia mjichanganye kwenye madarasa ya CPA kuna wadau wakubwa mle wanaweza kuwasaidia.kampuni ndogo ndogo ambazo ndio nyingi hawatangazi nafasi kujuana ndio unapata chance.mfano mimi niliwahi kumuhurumia kijana mmoja baada ya kupewa stori yake alivyosota mtaani nikamuunganisha kwa jamaa yangu akawe assistant accountant,mwisho wake nilijuta akala dili na watu wa benki kuibia wateja pesa ya kodi alizokuwa anakabidhiwa akawalipie!! Uhasibu ni uaminifu kwanza na mtu hawezi kukuajiri bila kuwa na uhakika wa mwenendo wako.Vijana tamaa mbaya!amini ucamin Ivuga wapo mtaani ,ninae ndugu yangu ana mwaka wa pili nyumbani tangu achukue degree yake ya uhasibu. Kila anapoapply hola,hadi amekata tamaa.
kwa nini hawana wakati kila siku kazi zinatangazwa? unawajua kwa majina?