Hello hellow tanzaniaaaaa,mapenzi ya dhatiiii!!!

Kwetu kwa wapogoro a.k.a wana wapakaya kitikio cha huo wimbo ningeimba "nanyosha mawoko gangu kumbindi, nakuinemela nchi gangu waimanyite x 2. Ayo ayo tanzaniaaa eeeh,ayo ayo gupendo gwa kweli , ayo ayo tanzaniaaa eeeh, ayo ayo mapenzi gwa dhati . Karibuni pande za ulanga na kilombero hello hello tanzania tuongee kipogoro
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…