Hela ya riba.

Hela ya riba.

bucho

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2010
Posts
5,173
Reaction score
3,266
Kwa mtu yoyote anayehusika kutoa hela ya riba naomba ani pm nimpe vichwa . Ila kuanzia 10m kwenda juu . Wateja wapo arusha .
 
Hamna wafanyabiasha humu ndani ?
 
Mh! Ukiona hivyo ujue washikaji wameshtuka! Vichwa viko Arusha, wakikutia ndani inakuwaje?
 
Mh! Ukiona hivyo ujue washikaji wameshtuka! Vichwa viko Arusha, wakikutia ndani inakuwaje?

hamna bwana , wateja wapo Arusha kweli , na pesa si unatoa paka ujiridhishe na dhamana zinazowekwa ?
 
machali wa arusha hawaaminiki, waambie waende bank na microfinance mbona wanapata tu kama wanasifa. kwa nini uhangaike kuomba kwa watu binafsi na viriba vya ajabu ajabu.
 
machali wa arusha hawaaminiki, waambie waende bank na microfinance mbona wanapata tu kama wanasifa. kwa nini uhangaike kuomba kwa watu binafsi na viriba vya ajabu ajabu.

watu wanataka hela za fasta mkuu
 
Waende pale njia ya kuelekea Shoprite kuna jengo kubwa kuna maofisi kibao nimesahau jina upande wa kushoto kabla hujafika shoprite,kuna mjasiria mali pale ana ofisi anakopesha fedha ni kama microfinance fulani hivi
 
Waende pale njia ya kuelekea Shoprite kuna jengo kubwa kuna maofisi kibao nimesahau jina upande wa kushoto kabla hujafika shoprite,kuna mjasiria mali pale ana ofisi anakopesha fedha ni kama microfinance fulani hivi

Mkuu hii ni kwa Arusha au Dar ?
 
Hakuna mfanyabiasha humu ndani ?
 
Back
Top Bottom