Waende pale njia ya kuelekea Shoprite kuna jengo kubwa kuna maofisi kibao nimesahau jina upande wa kushoto kabla hujafika shoprite,kuna mjasiria mali pale ana ofisi anakopesha fedha ni kama microfinance fulani hivi
Ni A town( Arusha )Mkuu hii ni kwa Arusha au Dar ?